Waamuzi 21:19 BHN

19 Basi wakakumbuka kwamba sikukuu ya Mwenyezi-Mungu iliyofanyika kila mwaka huko Shilo, mji ulio kaskazini ya Betheli, kwenye njia kuu itokayo Betheli kwenda Shekemu, ilikuwa inakaribia.

Kusoma sura kamili Waamuzi 21

Mtazamo Waamuzi 21:19 katika mazingira