Waamuzi 3:10 BHN

10 Basi, roho ya Mwenyezi-Mungu ikamjia Othnieli, naye akawa mwamuzi wa Waisraeli. Othnieli alikwenda vitani naye Mwenyezi-Mungu akamtia Kushan-rishathaimu mfalme wa Mesopotamia mikononi mwake.

Kusoma sura kamili Waamuzi 3

Mtazamo Waamuzi 3:10 katika mazingira