Waamuzi 7:11 BHN

11 Huko utasikia wanayosema, nawe utapata nguvu za kuweza kwenda kuwashambulia.” Basi, Gideoni akaenda pamoja na mtumishi wake Pura mpaka kwenye vituo vya walinda zamu wa kambi ya Wamidiani.

Kusoma sura kamili Waamuzi 7

Mtazamo Waamuzi 7:11 katika mazingira