Waamuzi 7:18 BHN

18 Nitakapopiga tarumbeta, mimi pamoja na kundi langu, nyote pigeni tarumbeta kutoka kila upande na kusema kwa sauti kubwa, ‘Kwa ajili ya Mwenyezi-Mungu na kwa ajili ya Gideoni!’”

Kusoma sura kamili Waamuzi 7

Mtazamo Waamuzi 7:18 katika mazingira