Waamuzi 7:19 BHN

19 Ilipokaribia usiku wa manane, Gideoni na kundi lake la watu mia moja mara tu baada ya kufika mwisho wa kambi, mwanzoni mwa zamu ya kati, wakati walipokuwa wamebadili wenye zamu walikaribia kambi ya adui. Wakapiga tarumbeta na kuvunja magudulia waliyokuwa nayo.

Kusoma sura kamili Waamuzi 7

Mtazamo Waamuzi 7:19 katika mazingira