Waamuzi 9:16 BHN

16 Yothamu akaendelea kusema, “Sasa basi, mnadhani mmefanya Abimeleki mfalme kwa nia njema na uaminifu? Je, mnadhani mmemtendea wema Yerubaali na jamaa yake kama alivyostahili kwa matendo yake?

Kusoma sura kamili Waamuzi 9

Mtazamo Waamuzi 9:16 katika mazingira