Walawi 1:17 BHN

17 Atamshika mabawa na kumpasua, lakini asimkate vipande viwili. Kisha, kuhani atamteketeza kwenye madhabahu, juu ya kuni. Hiyo ni sadaka ya kuteketezwa kwa moto yenye harufu nzuri ya kumpendeza Mwenyezi-Mungu.”

Kusoma sura kamili Walawi 1

Mtazamo Walawi 1:17 katika mazingira