Walawi 11:35 BHN

35 Kila kitu ambacho sehemu ya mzoga imekiangukia, kitakuwa najisi. Ikiwa ni tanuri au jiko, ni lazima kivunjwe. Vitakuwa najisi navyo ni najisi kwenu.

Kusoma sura kamili Walawi 11

Mtazamo Walawi 11:35 katika mazingira