Walawi 15:22 BHN

22 Mtu yeyote atakayegusa kitu chochote anachokalia mwanamke huyo ni lazima ayafue mavazi yake na kuoga kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

Kusoma sura kamili Walawi 15

Mtazamo Walawi 15:22 katika mazingira