Walawi 23:38 BHN

38 Sadaka hizo ni pamoja na zile mnazonitolea mimi Mwenyezi-Mungu siku ya Sabato kama vile pia sadaka zenu za kawaida, sadaka za kutimiza nadhiri zenu, na sadaka zenu za hiari mnazonitolea mimi Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Walawi 23

Mtazamo Walawi 23:38 katika mazingira