Walawi 23:40 BHN

40 Katika siku ya kwanza mtachukua matunda ya miti yenu mizuri, matawi ya mitende, matawi yenye majani mengi na matawi ya miti iotayo kandokando ya mto, nanyi mtafanya sherehe mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu kwa siku saba.

Kusoma sura kamili Walawi 23

Mtazamo Walawi 23:40 katika mazingira