Walawi 23:8 BHN

8 Kwa muda wa siku hizo zote saba mtanitolea mimi Mwenyezi-Mungu sadaka za kuteketezwa kwa moto. Katika siku ya saba mtafanya mkutano mtakatifu. Msifanye kazi.”

Kusoma sura kamili Walawi 23

Mtazamo Walawi 23:8 katika mazingira