Walawi 24:11 BHN

11 Siku moja yule kijana ambaye mama yake aliitwa Shelomithi binti Dibri wa kabila la Dani, alilikufuru na kulilaani jina la Mungu. Basi watu walimpeleka kijana kwa Mose,

Kusoma sura kamili Walawi 24

Mtazamo Walawi 24:11 katika mazingira