Walawi 25:35 BHN

35 “Kama ndugu yako amekuwa maskini hata asiweze kujitunza mwenyewe akiwa pamoja nawe, ni lazima umtunze aendelee kuishi nawe; mtendee kama mgeni au msafiri aliye kwako.

Kusoma sura kamili Walawi 25

Mtazamo Walawi 25:35 katika mazingira