Walawi 4:12 BHN

12 yaani ng'ombe mzima aliyesalia atampeleka na kumteketeza nje ya kambi mahali safi ambapo majivu hutupwa, naye atamchoma kwa moto juu ya kuni; atachomwa moto hapo mahali pa kumwagia majivu.

Kusoma sura kamili Walawi 4

Mtazamo Walawi 4:12 katika mazingira