Walawi 6:12 BHN

12 Moto wa madhabahu lazima uendelee kuwaka, na wala usizimwe. Kila siku asubuhi kuhani ataweka kuni kwenye moto huo na juu yake atapanga sadaka ya kuteketezwa, kabla ya kuteketeza mafuta ya sadaka ya amani.

Kusoma sura kamili Walawi 6

Mtazamo Walawi 6:12 katika mazingira