Walawi 9:18 BHN

18 Halafu Aroni akamchinja pia fahali na yule kondoo dume wa sadaka za amani kwa ajili ya watu. Wanawe wakamletea damu ambayo aliinyunyizia madhabahu pande zote.

Kusoma sura kamili Walawi 9

Mtazamo Walawi 9:18 katika mazingira