Zekaria 12:2 BHN

2 “Nitaufanya mji wa Yerusalemu kuwa kama kikombe cha divai; na mataifa yaliyo kandokando yake yatakunywa na kuyumbayumba kama walevi. Mji wa Yerusalemu utakaposhambuliwa, hata miji yote ya Yuda itashambuliwa.

Kusoma sura kamili Zekaria 12

Mtazamo Zekaria 12:2 katika mazingira