Zekaria 12:3 BHN

3 Siku hiyo nitaufanya mji wa Yerusalemu kuwa kama jiwe zito kwa watu wote: Yeyote atakayelinyanyua atajiumiza mwenyewe. Watu wa mataifa yote duniani wataushambulia mji huo.

Kusoma sura kamili Zekaria 12

Mtazamo Zekaria 12:3 katika mazingira