Zekaria 8:3 BHN

3 Nitaurudia mji wa Siyoni na kufanya makao yangu mjini Yerusalemu. Mji wa Yerusalemu utaitwa ‘Mji Mwaminifu,’ na mlima wangu mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi, utaitwa ‘Mlima Mtakatifu.’

Kusoma sura kamili Zekaria 8

Mtazamo Zekaria 8:3 katika mazingira