Zekaria 9:15 BHN

15 Mwenyezi-Mungu wa majeshi atawalinda watu wake,nao watawaangamiza maadui zao.Watapiga kelele vitani kama waleviwataimwaga damu ya maadui zao.Itatiririka kama damu ya tambikoiliyomiminwa madhabahuni kutoka bakulini.

Kusoma sura kamili Zekaria 9

Mtazamo Zekaria 9:15 katika mazingira