2 Fal. 1:16 SUV

16 Akamwambia, BWANA asema hivi, Kwa kuwa umetuma wajumbe waulize kwa Baal-zebubu, mungu wa Ekroni, je! Ni kwa sababu hapana Mungu katika Israeli, uulize neno lake? Kwa hiyo hutashuka katika kile kitanda ulichokipanda, bali hakika utakufa.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 1

Mtazamo 2 Fal. 1:16 katika mazingira