2 Fal. 11:18 SUV

18 Watu wote wa nchi wakaiendea nyumba ya Baali, wakaiangusha; madhabahu zake na sanamu zake wakazivunja-vunja kabisa, na Matani kuhani wa Baali wakamwua mbele ya madhabahu. Na Yehoyada kuhani akaweka maakida juu ya nyumba ya BWANA.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 11

Mtazamo 2 Fal. 11:18 katika mazingira