2 Fal. 11:19 SUV

19 Akawatwaa wakuu wa mamia, na Wakari, na walinzi, na watu wote wa nchi; wakamleta mfalme kushuka nyumbani mwa BWANA, wakaja kwa njia ya mlango wa walinzi mpaka nyumba ya mfalme. Naye akakaa katika kiti cha enzi cha wafalme.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 11

Mtazamo 2 Fal. 11:19 katika mazingira