2 Fal. 12:10 SUV

10 Ikawa, walipoona ya kuwa fedha nyingi imo kashani, karani wa mfalme akapanda na kuhani mkuu, wakaifunga mifukoni, wakaihesabu fedha iliyoonekana nyumbani mwa BWANA.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 12

Mtazamo 2 Fal. 12:10 katika mazingira