2 Fal. 13:7 SUV

7 Kwa kuwa hakumwachia Yehoahazi watu ila wapandao farasi hamsini, na magari kumi, na askari elfu kumi waendao kwa miguu; kwa kuwa mfalme wa Shamu aliwaharibu, akawaponda mfano wa mavumbi yaliyokanyagwa.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 13

Mtazamo 2 Fal. 13:7 katika mazingira