2 Fal. 14:13 SUV

13 Yehoashi mfalme wa Israeli akamtwaa Amazia mfalme wa Yuda, mwanawe Yoashi mwana wa Ahazia, huko Beth-shemeshi, akaja Yerusalemu, akauvunja ukuta wa Yerusalemu toka lango la Efraimu hata lango la pembeni, mikono mia nne.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 14

Mtazamo 2 Fal. 14:13 katika mazingira