2 Fal. 14:15 SUV

15 Basi mambo yote ya Yehoashi yaliyosalia, aliyoyafanya, na ushujaa wake, na jinsi alivyopigana na Amazia mfalme wa Yuda, je! Hayakuandikwa katika kitabu-cha-tarehe cha wafalme wa Israeli?

Kusoma sura kamili 2 Fal. 14

Mtazamo 2 Fal. 14:15 katika mazingira