2 Fal. 14:23 SUV

23 Katika mwaka wa kumi na tano wa Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda Yeroboamu mwana wa Yehoashi mfalme wa Israeli alianza kutawala katika Samaria; akatawala miaka arobaini na mmoja.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 14

Mtazamo 2 Fal. 14:23 katika mazingira