2 Fal. 17:18 SUV

18 Kwa hiyo BWANA akawaghadhibikia Israeli sana, akawahamisha mbali na uso wake; wala hapana aliyesalia ila kabila ya Yuda peke yake.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 17

Mtazamo 2 Fal. 17:18 katika mazingira