2 Fal. 17:23 SUV

23 hata BWANA akawaondoa Waisraeli wasiwe mbele zake, kama vile alivyosema kwa kinywa cha watumishi wake wote, manabii. Basi Waisraeli walichukuliwa mateka kutoka nchi yao wenyewe, waende nchi ya Ashuru, hata leo.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 17

Mtazamo 2 Fal. 17:23 katika mazingira