2 Fal. 17:32 SUV

32 Basi hivyo wakamcha BWANA, nao wakijifanyia wengine wao kuwa makuhani wa mahali pa juu, ambao waliwafanyia dhabihu katika nyumba za mahali pa juu.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 17

Mtazamo 2 Fal. 17:32 katika mazingira