2 Fal. 18:12 SUV

12 kwa sababu hawakuitii sauti ya BWANA, Mungu wao, bali waliyahalifu maagano yake, mambo yote ambayo Musa mtumishi wa BWANA aliwaamuru, wasikubali kuyasikiliza, wala kuyatenda.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 18

Mtazamo 2 Fal. 18:12 katika mazingira