2 Fal. 18:26 SUV

26 Ndipo Eliakimu, mwana wa Hilkia, na Shebna, na Yoa, wakamwambia yule amiri, Tafadhali, sema na watumishi wako kwa lugha ya Kiashuri; maana tunaifahamu; wala usiseme nasi kwa lugha ya Kiyahudi, masikioni mwa hao watu walio ukutani.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 18

Mtazamo 2 Fal. 18:26 katika mazingira