2 Fal. 18:27 SUV

27 Lakini yule amiri akawaambia, Je! Bwana wangu amenituma kwa bwana wako, na kwako wewe, niseme maneno haya? Je! Hakunituma kwa watu hawa walio ukutani, ili wale mavi yao wenyewe na kunywa mkojo wao pamoja nanyi?

Kusoma sura kamili 2 Fal. 18

Mtazamo 2 Fal. 18:27 katika mazingira