2 Fal. 18:37 SUV

37 Ndipo Eliakimu, mwana wa Hilkia, aliyekuwa msimamizi wa nyumba ya mfalme, na Shebna, mwandishi, na Yoa, mwana wa Asafu, mwenye kuandika tarehe, wakaenda kwa Hezekia, na nguo zao zimeraruliwa, wakamwambia maneno ya yule amiri.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 18

Mtazamo 2 Fal. 18:37 katika mazingira