2 Fal. 19:10 SUV

10 Mwambieni Hezekia, mfalme wa Yuda, maneno haya, mkisema, Asikudanganye Mungu wako unayemtumaini, akisema, Yerusalemu hautatiwa katika mikono ya mfalme wa Ashuru.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 19

Mtazamo 2 Fal. 19:10 katika mazingira