2 Fal. 19:37 SUV

37 Ikawa, alipokuwa akiabudu nyumbani mwa Nisroki, mungu wake, Adrameleki na Shareza wakampiga kwa upanga; wakaikimbilia nchi ya Ararati. Na Esar-hadoni mwanawe akatawala mahali pake.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 19

Mtazamo 2 Fal. 19:37 katika mazingira