2 Fal. 21:3 SUV

3 Kwa maana akapajenga tena mahali pa juu alipopaharibu Hezekia baba yake; akamjengea Baali madhabahu, akafanya Ashera kama alivyofanya Ahabu mfalme wa Israeli. Akajiinama mbele ya jeshi lote la mbinguni na kulitumikia.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 21

Mtazamo 2 Fal. 21:3 katika mazingira