2 Fal. 23:18 SUV

18 Akasema, Mwacheni; mtu awaye yote asiiondoe mifupa yake. Basi wakaiacha mifupa yake, pamoja na mifupa ya yule nabii aliyetoka Samaria.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 23

Mtazamo 2 Fal. 23:18 katika mazingira