2 Fal. 23:19 SUV

19 Na nyumba zote pia za mahali pa juu palipokuwa katika miji ya Samaria, wafalme wa Israeli walizozifanya, ili kumkasirisha BWANA, Yosia aliziondoa, akazitenda kwa mfano wa mambo yote aliyoyatenda katika Betheli.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 23

Mtazamo 2 Fal. 23:19 katika mazingira