2 Fal. 23:30 SUV

30 Watumishi wake wakamchukua garini, amekwisha kufa, kutoka Megido, wakamleta Yerusalemu, wakamzika katika kaburi lake mwenyewe. Watu wa nchi wakamtwaa Yehoahazi mwana wa Yosia, wakamtia mafuta, wakamtawaza awe mfalme badala ya baba yake.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 23

Mtazamo 2 Fal. 23:30 katika mazingira