2 Fal. 23:33 SUV

33 Naye Farao-neko akamfunga huko Ribla, katika nchi ya Hamathi, ili asitawale huko Yerusalemu. Akaitoza nchi kodi talanta mia za fedha na talanta ya dhahabu.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 23

Mtazamo 2 Fal. 23:33 katika mazingira