2 Fal. 4:29 SUV

29 Ndipo Elisha akamwambia Gehazi, Jikaze viuno, ukachukue fimbo yangu mkononi mwako, ukaende zako; ukikutana na mtu, usimsalimu; na mtu akikusalimu, usimjibu; ukaweke fimbo yangu juu ya uso wa mtoto.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 4

Mtazamo 2 Fal. 4:29 katika mazingira