2 Fal. 7:1 SUV

1 Elisha akasema, Lisikieni neno la BWANA; BWANA asema hivi, Kesho panapo saa hii, kipimo cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli, langoni pa Samaria.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 7

Mtazamo 2 Fal. 7:1 katika mazingira