2 Fal. 7:10 SUV

10 Basi wakaenda, wakawaita mabawabu wa mji; wakawaambia, Tulifika kituo cha Washami, na tazama, hapana mtu ye yote huko, wala sauti ya mtu, ila farasi wamefungwa, na punda wamefungwa, na hema zao kama walivyoziacha.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 7

Mtazamo 2 Fal. 7:10 katika mazingira