2 Fal. 7:9 SUV

9 Ndipo wakaambiana, Mambo haya tufanyayo si mema; leo ni siku ya habari njema, na sisi tunanyamaza; mkingoja hata kutakapopambazuka, madhara yatatupata; basi twende tukawaambie watu wa nyumba ya mfalme.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 7

Mtazamo 2 Fal. 7:9 katika mazingira