2 Fal. 7:8 SUV

8 Basi wale wenye ukoma walipofika mwisho wa kituo, waliingia katika hema moja, wakala, na kunywa, wakachukua fedha, na dhahabu, na mavazi, wakaenda wakavificha; wakarudi, wakaingia katika hema ya pili, vile vile wakachukua vitu, wakaenda, wakavificha.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 7

Mtazamo 2 Fal. 7:8 katika mazingira