2 Fal. 7:17 SUV

17 Naye mfalme akamweka yule akida, ambaye alitegemea mkono wake, awasimamie watu langoni; na watu wakamkanyaga langoni, akafa; kama alivyosema yule mtu wa Mungu, aliyenena hapo mfalme alipomshukia.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 7

Mtazamo 2 Fal. 7:17 katika mazingira