2 Fal. 7:16 SUV

16 Basi watu wakatoka, wakaziteka nyara hema za Washami. Ikawa kipimo cha unga mzuri kikauzwa kwa shekeli, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli, sawasawa na neno la BWANA.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 7

Mtazamo 2 Fal. 7:16 katika mazingira